Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Mwakilishi wa UNFPA Nchini Tanzania Ms.Jacqueline Mahon (katikati)alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kumsalimia Rais akiwa na ujumbe aliofuatana nao [Picha na Ikulu].