Untitled Document
home | tume | utangazaaji | znz

Fainali za dunia za riadha kwa upande wa wanawake

Mwanariadha Mkenya Ruth Chepngetich amaliza nafasi ya kwanza

Fainali kwa upande wa wanawake katika mashindano ya riadha duniani yamefanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha.

Mashindano hayo huandaliwa na Baraza la kimataifa la mbio (IAAF). Washiriki wa fainali hizo kwa upande wa wanawake kutoka Uturuki, Elvan Abeylegesse ve Fadime Çelik hawakumaliza mashindano hayo.

Katika fainali hizo mkenya Ruth Chepngetich alimaliza wa kwanza kwa kutumia muda wa 2:32:43, mshindi wa pili ni mshiriki kutoka Bahrein Rose Chelimo aliyetumia 2:33:46. Mshindi namba tatu ni mshiriki kutoka Namibia, Helalia Johannes aliyetumia 2:34:15..

Habari zaidi za Michezo